NI wapi ulipata habari kwamba niliwahi kusema kuwa Ujamaa ulishindwa vibaya Tanzania? Katika miaka ile ya sabini, nchi kadhaa zilisambaratika kiuchumi na hazikuwa zikijenga Ujamaa. Najua hivi sasa inahitaji ujasiri kuuzungumzia Ujamaa, lakini lazima uelewe manufaa ya maadili ya kijamaa tuliyokuwa tunajaribu kuyajenga nchini mwetu
Walipata Kunena
-
Nyerere na ‘kushindwa’ Ujamaa
Maoni ya Wasomaji
-
I'll right away take hold of your rss as I can't in finding your email subscription link or e-newsletter service. Do you've any? Kindly allow me realize in order that I could subscribe.44 min 54 secYametolewa maoni mengine 18
ziada