Zitto

Makachero wamfuatilia Zitto hadi Kenya

Mwandishi Wetu

WIKI moja kabla ya Mbunge wa Tarime (CHADEMA), Chacha Zakayo Wangwe kufariki, Mbunge kijana wa Kigoma Kaskazini kupitia chama hicho, Zitto Zuberi Kabwe, alizushiwa kifo huku akifwatiliwa na watu

Siri ya Zitto na Ngeleja yavuja

Mwandishi Wetu

WAKATI hali ya umeme nchini ikiwa bado tete, barua ya siri kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), Zitto Kabwe kwenda kwa Waziri wa Nishati na Madini, Wi

‘Taifa liko hatarini’

Mwandishi Wetu

WANASIASA, viongozi wa dini na wananchi wameelezea kushitushwa kwao na hali ya kisiasa na kiuchumi inavyoendelea nchini, wakisema kwa sasa nchi iko hatarini kutokana na kuibuka kwa matabaka ya w

Mbio za Ikulu zapamba moto

Mwandishi Wetu
CHADEMA, kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu, Kabwe Zitto, wanaamini kwamba CCM sasa inafuata nyayo zao katika kuendesha siasa nchini na hayo ni mafanikio makubwa kwao

Mkapa hakuzuia mjadala - Msekwa

Mwandishi Wetu
Rais mstaafu, Benjamin Mkapa
KUHARIBIKA wiki iliyopita kwa rada iliyonunuliwa kwa bei kubwa katikati ya nyendo za kifisadi sasa kumeibua lawama kwa Bunge lililopita

Zitto: Watu wanacheza

Aristariko Konga

MBUNGE wa Kigoma Kaskazini kupitia kofia ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Zitto Kabwe, amesema kuteuliwa kwake na Rais kuwa mjumbe wa Kamati ya Kuchunguza Mikataba ya Madini kamwe

Slaa ana siri nzito, kuibukia Dodoma

Mwandishi Wetu

BAADA ya kuapishwa kwa Rais Jakaya Kikwete, kuendelea na kipindi cha pili cha urais wa Tanzania, aliyekuwa mgombea Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk.

Kamati ya Zitto yarudi kiaina

Mwandishi Wetu
Spika Anne Makinda na Mbunge Zitto Kabwe
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, ameendelea kushika mpini katika uundaji wa kamati mpya za Bunge

Warioba, Dk. Salim watumika CHADEMA

Godfrey Dilunga
Jaji Warioba na Salim Ahmed Salim
MAWAZIRI Wakuu wa zamani Warioba na Salim, ndio "viungo" wa mazungumzo kati ya CHADEMA na Rais Kikwete kuhusu Katiba mpya

Mwangwi wa Slaa wagusa bajeti

Waandishi Wetu

WAZIRI Kivuli wa Fedha na Uchumi, Zitto Kabwe, amewasilisha Bajeti ya Kambi ya Upinzani Bungeni akibainisha kuongeza mapato hadi Sh.

Pages

Subscribe to Zitto