Zitto

Warioba, Dk. Salim watumika CHADEMA

Godfrey Dilunga
Jaji Warioba na Salim Ahmed Salim
MAWAZIRI Wakuu wa zamani Warioba na Salim, ndio "viungo" wa mazungumzo kati ya CHADEMA na Rais Kikwete kuhusu Katiba mpya

Wafuateni kina Zitto, Januari Makamba

Evarist Chahali

MAKALA katika toleo lililopita la jarida hili ilizua mjadala mrefu kwenye mtandao wa kijamii wa twitter kutokana na kunukuu matamshi ya Rais Jakaya Kikwete na utata kama wasifu uliopo kwenye mtanda

Jaji Bomani atetea hoja ya Zitto

Mwandishi Wetu

MWENYEKITI wa Kamati ya Rais ya Ushauri kuhusu Sekta ya Madini, Jaji Mark Bomani, amesema hoja aliyoitoa Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe ilikuwa ni muhimu baada ya kuona kwamba ma

Waziri Sitta, Zitto wapimana ubavu Kirumba jijini Mwanza

Deus Bugaywa
Samwel Sitta
UPINZANI wa kisiasa kati ya CCM na CHADEMA Mwanza umeugeuza uchaguzi mdogo wa kata kuwa zaidi ya uchaguzi wa kumpata diwani

Haya ndiyo Zitto aliyomwambia Spika Sitta

Mwandishi Wetu

Tarehe 14/8/2007 Bunge lilipitisha azimio la kunisimamisha kazi za Bunge kwa jumla ya mikutano miwili.

Zitto, Januari na umri wa rais: Mjadala uliopotea njia

Ayub Rioba

HIVI karibuni wanasiasa vijana, Zitto Kabwe wa CHADEMA na Januari Makamba wa CCM walichokoza nyuki na kusababisha mjadala kuhusu suala la umri wa kugombea urais Tanzania.

Utoto wa Zitto uko wapi?

Privatus Karugendo

KABLA ya kwenda mbali, niweke sawa jambo hili; kwamba kuna watoto wenye akili ya watu wazima na kuna  watu wazima wenye akili ya kitoto.

Zitto na urais: Haki binafsi isiyokidhi alama za nyakati

Evarist Chahali
Zitto Kabwe
Uwezekano wa CHADEMA kuingia Ikulu unategemea mazingira ya ndani na nje ya chama hicho

Wajipanga kwa urais

Waandishi Wetu

MIAKA miwili tu kabla ya Rais Jakaya Kikwete kumaliza

Pages

Subscribe to Zitto