WIKI moja kabla ya Mbunge wa Tarime (CHADEMA), Chacha Zakayo Wangwe kufariki, Mbunge kijana wa Kigoma Kaskazini kupitia chama hicho, Zitto Zuberi Kabwe, alizushiwa kifo huku akifwatiliwa na watu
WAKATI hali ya umeme nchini ikiwa bado tete, barua ya siri kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), Zitto Kabwe kwenda kwa Waziri wa Nishati na Madini, Wi
WANASIASA, viongozi wa dini na wananchi wameelezea kushitushwa kwao na hali ya kisiasa na kiuchumi inavyoendelea nchini, wakisema kwa sasa nchi iko hatarini kutokana na kuibuka kwa matabaka ya w
CHADEMA, kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu, Kabwe Zitto, wanaamini kwamba CCM sasa inafuata nyayo zao katika kuendesha siasa nchini na hayo ni mafanikio makubwa kwao
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini kupitia kofia ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Zitto Kabwe, amesema kuteuliwa kwake na Rais kuwa mjumbe wa Kamati ya Kuchunguza Mikataba ya Madini kamwe
BAADA ya kuapishwa kwa Rais Jakaya Kikwete, kuendelea na kipindi cha pili cha urais wa Tanzania, aliyekuwa mgombea Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk.
NILIGOMBEA ujumbe wa NEC ya CCM mara tatu na nikashindwa kwa sababu sikuhonga. Nilikataa kuhonga, na hadi leo sitaki. Chukueni cheo chenu lakini sitahonga. Mimi kamwe siwezi kuhonga kutafuta cheo, nina uwezo wa kulima
Sozigwa na kura
Maoni ya Wasomaji
Jamani kama ni kutoa maoni basi toeni kwa kiswahili. Kiingereza gani alichotumia kutoa maoni huyo hapo juu!!! Huo ni ujuha. Kuhusu matokeo, nadhani serikali imelenga kufurahisha wapiga kura.