NI habari njema kwamba watuhumiwa wa sakata la ufisadi wa mabilioni ya fedha ndani ya Benki Kuu ya Tanzania BoT kupitia akaunti ya EPA, wameanza kulipa sehemu ya fedha za wakulima na wafanyakazi wa nchi yetu, walizokuwa wamejichotea.
NI habari njema kwamba watuhumiwa wa sakata la ufisadi wa mabilioni ya fedha ndani ya Benki Kuu ya Tanzania BoT kupitia akaunti ya EPA, wameanza kulipa sehemu ya fedha za wakulima na wafanyakazi wa nchi yetu, walizokuwa wamejichotea.
